Hapa ni maandalizi :- kwanza ni aina ya mchuzi mweupe ambao nimetengeneza kwa unga wa ngano,maziwa,chumvi pilipili manga na baadaye chizi..halafu unaweka kwenye hicho chumbo kwanza mchuzi huo mweupe, halafu aina ya pasta bapa kidogo na halafu nyama ya kusaga iliyokaangwa na kuungwa na nyanya ya kusaga,kitunguu na kitunguu saumu..unafanya hivyo mara tatu au nne....
Baada ya hapo naweka ndani ya oven 200°, dakika 30 baada ya hapo tayari kwa kuliwa
Na hapa unaona jinsi sahani ya Kapulya ilikuwa pembeni kuna spenchi, nyanya,na aina ya tango kinywaji machi ambayo yana limao kwa mbali...Chakula hili ni maalum zaidi Italia..Samahani kwa wala waiokula nyama msiogope kuja huwa kuna chakula aina nyingine kwa akiba..kama vile Kamala na Chacha ndio ninaowajua ambao hawali nyama.....JIONI YENU IWE NJEMA NA YENYE AMANI...TWIWONAGE CHILAWO BE..SIJUI NIMEPETIA...:-)
Showing posts with label jioni. Show all posts
Showing posts with label jioni. Show all posts
Monday, March 11, 2013
Friday, August 24, 2012
TUIMAILIZE IJUMAA HII NA WIMBO HUU WA JAMES DANDU -SINA MAKOSA!!
KILA LA KHRI KWA WOTE NA UPENDO DAIMA!!!
Tuesday, June 19, 2012
JINSI NILIVYOWAZA NINI CHA KUPIKA JIONI YA LEO/NIMETAMANI MBOGA!!!
Nimeiangalia picha hii na kujikuta :-) ebu angalia hayo matembele na naona hapo kwenye hilo kapu kuna zaidi ila nikakaza moyo na kuendelea kuwaza.....
Tuesday, October 11, 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)