Showing posts with label KUKATA TAMAA. Show all posts
Showing posts with label KUKATA TAMAA. Show all posts

Friday, June 1, 2018

UJUMBE WA LEO IJUMAA YA KWANZA YA MWEZI HUU WA SITA...MAPENZI




Akupendaye atakuvumilia udhaifu wako wote hatakuhesabia makosa yako kwa kukata tamaaa juu yako bali atatafuta njia ya kukusaidia ujione mwenye thamani na kuwa na furaha maishani mwako
IJUMAA NJEMA NA MWANZO MWEMA WA MWEZI!...