Monday, December 25, 2017

SALAMU ZA NOELI KUTOKA RUHUWI/SONGEA. KHERI SANA KWA KRISMASI

Napenda kuwatakieni  wote mtakaopita hapa KHERI YA KRISMASI.
Mziki kidogo

Friday, December 22, 2017

PERAMIHO KIZIZINI LEO 22/12/2017 IJUMAA NJENA WANDUGU



 Mdada anafurshia kuwa nyumbani  -:)
Leo nilikuwa Peramiho  na hapa ni kizizini kwa wale  wenyeji wa peramiho wanajua. Na wasiojua ni sehemu ufugaji bora......

Wednesday, December 20, 2017

KARIBUNI TUJUMUIKE KWETU RUHUWIKO

 Matunda matunda  kwa wingi ni kutoka tu nje na kuchuma
Pia dagaa nyasa pia wanapatikana KARIBUNI

Tuesday, December 12, 2017

MKIONA KIMYA BASI JUENI NIMEKWENDA KULA LIKOLO LA NANYUNGU-:) NYUMBANI NI NYUMBANI


Napenda kuwatakieni wote afya njema kwa kipindi hiki kijacho cha NOELI. Binafsi nitakuwa katika mapumziko kula likolo la nanyungu. KARIBUNI SANA.
PANAPO MAJALIWA TUTAONANA TENA NA KUSEMA. NI MIMI KAPULYA WENU.

Wednesday, December 6, 2017

JE? WEWE UNAPENDA MATUNDA GANI? MIMI NAPENDA MACHENZA NA MAPAPAI

Kwanza MACHENZA Haya ni mepesi kumenya,hayana ukakasi wala uchungu kwa kifupi ni matamu. 
Pili ni mapapai haya ni matamu sana pia ni safi sana kulainishia nyama kama vile nyama ya ngòmbe utapenda nakuambia....

Tuesday, December 5, 2017

VISODA NA MATUMIZI YAKE......UBUNIFU

 Wakati wengine wakitumia kama mapambo........urembo
wengine wanatumia kama vihesabio. Je? wewe  umewahi kutumia kifaa hiki kwa mtindo wowote mwingine?