Showing posts with label foleni dar es salaam. Show all posts
Showing posts with label foleni dar es salaam. Show all posts

Monday, March 18, 2013

MSONGAMANO WA MAGARI/FOLENI KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM!!!

Nimekuwa nikijiuliza muda mrefu sasa kuhusu foleni katika Jiji letu la Dar es salaam. Nianze hivi hivi kwanini watu wanaishi nyumba moja na kila mtu anakuwa na gari lake? Kwanini wasitumie gari moja?
Kwanini tusiwekeane zamu kutumia gari moja kwa wiki na hata mwezi..kwa mfano mfanyakazi mwenzako au jirani..hii ingepunguza sana gharama za mafuta pia foleni zingepungua kwa kiasi fulani. Haya ni mawazo yangu..karibuni sana tujadili kwa pamoja...Kapulya