Showing posts with label wilaya ya Nyasa. Show all posts
Showing posts with label wilaya ya Nyasa. Show all posts
Monday, January 22, 2018
Thursday, February 18, 2016
BADO TUENDELEE NA WILAYA YA NYASA HAMU HAIJAISHIA ..BIO CAMP HII IPO KATIKA KIJIJI CHA NDEGERE KARIBUNI SANA...!
Mwenzenu bado nipo Nyasa kwangu...na hapa ni sehemu ya jengo la mapumziko katika ufukwe wa ziwa Nyasa kwenye kijiji cha NDENGERE. Sehemu hiyo ni maarufu kwa jina la BIO CAMP.
Monday, February 15, 2016
WIKI HII TUANZE NA KUTEMBELEA ALIKOZALIWA KAPULYA WENU KIJIJI CHA LUNDO/ WILAYA YA NYASA
Hapa ni kilimo cha maksai katika kijiji cha Lundo Wilaya ya Nyasa
Na hapa ni Beach ya BioCamp-Kijiji cha Ndengere Wilaya hiyo hiyo ya Nyasa... yaani nimefurahi, furahi mno kupata tena taaswira ya vijiji hivi Ndengere, Lundo, nk...ni sehemu zangu nilizokulia yaani nimekumbuka mengi sana hasa mlo wa samaki na ugali wa mhugo:-) hapa ndipo nilikotoka...
Subscribe to:
Posts (Atom)





