Showing posts with label malaika. Show all posts
Showing posts with label malaika. Show all posts

Saturday, December 13, 2008

FARAJA YA MALAIKA(MAISHA)

Wakati unahitaji faraja ni ndipo uhakika wa maisha yako yanakuwa na muda,
Tafuta uhusianao kwa malaika wa faraja yako,
Mpe jibu hata kama mefumba macho.

Malaika mlinzi anakulinda,
Kila kitu kitaenda safi kwako.
Hakuna mwingine zaidi ya yeye,
Yupo kila mahali bila kusemas kwa heri.

Anatusikia wote na kutuona.
Unatakiwa kusema kwa sauti yako,
Usiwe na wasiwasi na ukawa mzigo kwako,
Uwe na imani kuwa kuna mtu atakufariji.

WIKI END NJEMA PIA JUMAPILI NJEMA KWA WOTE!!!!