Showing posts with label najivunia. Show all posts
Showing posts with label najivunia. Show all posts

Friday, September 20, 2013

TUIANZE IJUMAA/MWISHO WA JUMA NA ZILIPENDWA...


Hakika vya zamani ni vizuri na vinadumu  hizi tulikuwa tukizisikia tangu tupo migongoni wa mama zetu .....Nafurahi zimetunzwa na leo watoto wetu wanaweza kusikiliza...IJUMAA NJEMA KWA WOTE...

Tuesday, November 16, 2010

Angalia fahari ya Tanzania hii ni Ngorongoro!!!!

Chui angalia jinsi anavyopendeza
Simba, jamani nisaidieni kuna aduiiiii

Ah! ngoja nipumzike kidogo Kifaru anasema!!!
Picha hizi nimetumiwa na msomaji wa blog ya Maisha na Mafanikia ambaye pia ni mdogo wangu wa hiari raha heeee!!!!Naipenda sana nchi yangu na ufahari tulionao.