Monday, May 25, 2020

USAFIRI WETU...AKINA MAMA TUNAWEZA

Nimeona tuanza wiki hii kinamna hii  maana nadhani leo hap ni siku ya akina mama...kwa hiyo napenda pia kuwapa shukrani akina mama wote. Tuzidishe uaminifu maana ndiyo nguzo ya mafanikio.

Friday, May 8, 2020

LEO NIMESHINDA NATAMANI HIVV VYAKULA MAANA NDIVYO VILIVYONIKUZA

Hapa ni mahindi ya kuchoma eeeh bwana weee acha tu 
Dagaa  na mboga maboga ni mboga tamu sana...
.....na bila kusahau ugali yaani natamani khali ya hewa iwe joto ili nianza kulima mbogamboga zangu