Hii picha ni wakati wa uhai wake hapa ilikuwa 2005 nyumbani kwetu LITUMBANDYOSI yeye ni huyo mwenye miwani yupo pamoja na wdogo zake.
Na hapa yupo na moja wa wajukuu zake ilikuwa mwaka 2016 November. Babu yetu Lotary amekuw akiugua tangu kipindi cha pasaka
Na hapa ni picha yake ya mwisho iliyopigwa 28/12/2016.Wewe Ulikuwa Kiongozi wa ukoo wa akina Ngonyani, babu yetu, baba yetu na pia mshauri mzuri sana pale mtu atakapo ushauri. TUNAMUOMBA MWENYEZI MUNGU ATUTIE NGUVU KWA KIPINDI HIKI CHA MAOMBELEZO. BWANA AMETOA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIDIMIWE. UPUMZIKE KWA AMANI BABU YANGU/YETU. AMINA


