Tunawaangalia , Ee Bwana
Hawa uliotujalia.
Katika hawa tunajiona sisi wenyewe.
Je, kweli tulikuwa hivi sisi
Tulipokuwa watoto?
Tulipigana hivi?
Tulipaga kelele hivi?
Tulileta furaha namna hii
Na mateso namna hii kwa wazazi wtu?
Tunashangaa na kujiuliza....
Tunajaribu kukumbuka-----
Kukumbuka jinsi ilivyokuwa
Tulipokuwa watoto wadogo bado
Tukiwatazama watu wakubwa.
Wakati mwingine wanatutia wasiwasi, Bwana.
Au kwa namna nzuri zaidi, tunajitia wasiwasi sisi wenyewe
Kwani si rahisi kuwa sawa daima.
Lakini kuna furaha pia,
Furaha kubwa wanayotuletea;
Nao hutufanya tuone fahari,
kwani ni watoto wema.
Tunakushukuru kwa ajili yao Bwana,
Wao ndiyo zawadi yako bora kwetu,
baada yetu sisi wenyewe.
Utusaidie
tuunganisha mikono yetu na mkono yako
Ili, Ee Baba,
Wawe kweli
Watoto wetu.
Amina.
JUMPILI NJEMA KWA WOTE
Showing posts with label shukuru. Show all posts
Showing posts with label shukuru. Show all posts
Sunday, December 13, 2009
Sunday, November 22, 2009
AHSANTE MUNGU WANGU!!!!!
Dear GOD:I want to thank You for what you have already done.
I am not going to wait until I see results or receive rewards.
I am not going to wait until I feel better or things look better.
I'm not going to wait until people say they are sorry or until they stop talking about me.
I am not going to wait until the pain in my body disappears.
I am not going to wait until my financial situation improves.
I am not going to wait until the children are asleep and the house is quiet.
I am not going to wait until I get promoted at work or until I get the job.
I am not going to wait until I understand every experience in my life that has caused me pain or grief.
I am not going to wait until the journey gets easier or the challenges are removed.
I am thanking you right now. I am thanking you because I am alive. I am thanking you because I made it through the days of difficulties. I am thanking you because I have walked around the obstacles.
I am thanking you because I have the ability and the opportunity to do more and do better.
I'm thanking you because FATHER, YOU haven't given up on me.
Have a great day, and an even better tomorrow.
Hii nilitumiwa na rafiki mwema nimeipenda na nimeona si mbaya kama nikiweka hapa kibarazani ili tuombe kwa pamoja. Amina. JUMAPILI NJEMA KWA WOTE !!!!!!!!!!
Sunday, June 21, 2009
NAPENDA KUWATAKIENI WOTE JUMAPILI NJEMA KWA SALA HII
Mungu nakuomba unisaidie niwakumbuke wenye njaa ninapokuwa na chakula, wagonjwa nianpokuwa na afya nzuri, wote wanaoteseka kwa sababu ya vita ninapokuwa na amani, wasio na nyumba ninapokuwa nimelala na pia kuwa ndani ya nyumba yenye joto, pia nakuomba unisaidia niwakumbuke yatima kila ninapokuwa na wazazi wangu.
Na pia nakuomba:
Bikira Maria mama wa msaada na uibariki familia yangu, kaka zangu, dada zangu, wazazi wangu na watu wote dunia hii katika dhambi: AMINA
Na pia nakuomba:
Bikira Maria mama wa msaada na uibariki familia yangu, kaka zangu, dada zangu, wazazi wangu na watu wote dunia hii katika dhambi: AMINA
Subscribe to:
Posts (Atom)