Showing posts with label Watoto na kazi zao. Show all posts
Showing posts with label Watoto na kazi zao. Show all posts

Thursday, June 13, 2013

WATOTO NAO WANAWEZE WAKIPEWA MASOMA....KAZI ZA MIKONO YA WANETU!!!

 NI KAZI YA DADA CAMILLA 2013
 hapa pia ni kazi ya mikono ya dada/binti Camilla mwaka 2012
 na siyo Dada/Binti Camilla tu hata Kaka/kijana Erik naye anaweza ni kazi ya mikono yake mwaka jana 2012
..Na mwaka huu 2013 tena jana amekuja na hii..Hakika kama mama mzazi nimefurahi sana kwa jinsi mikono yao ilivyofanya kazi nzuri. Sina haja ya kununu mito ya mapambo wanangu wananisaidia...Nina haki ya kusema naona FAHARI sana kwa kweli......proud/stolt. ALHAMIS NJEMA KWA WOTE:-)