Showing posts with label embe. Show all posts
Showing posts with label embe. Show all posts

Sunday, August 19, 2018

KUMBUKUMBU....NIMETAMANI SANA EMBE LEO....

Nawatakieni  mwisho wa juma uwe mwema amani na furaha vitawale moyoni mwenu.....Kapulya wenu!

Wednesday, May 27, 2015

LEO NIMEAMKA NA HAMU YA EMBE KWELI...KWENDA DUKANI ETI EMBE MOJA BEI YAKE ...

Ni 2640, duh  nikakumbuka nyumbani Ruhuwiko nina miembe na mpaka kuna wakati natupa maembe au nalisha nguruwe...Mmmmmhhh maisha haya kaziiiii kwelikweli.... JUMATANO NJEMA KWA WOTE!!

Friday, May 23, 2014

VYAKULA NILIVYOTAMANI IJUMAA YA LEO.....SAMBUSA NA EMBE!!!


Leo nimetamani kweli SAMBUSA kitu ambacho kinachosha ni kwamba nimewahi kujaribu kutengeneza na sikuweza kama inavyotakiwa na huchukua muda mwiiiingi sana. Sijui kuna njia rahisi zaidi? Halafu......

.....nikajikuta naota ndoto ya hili tunda EMBE...Songea ndo zinakwisha kwisha sasa....Kaaaazi kwelikweli ngoja niache kuota .....IJUMAA NA MWISHO MWEMA WA JUMA!!