Nadhani wazazi/walezi wengi wanajua jinsi ilivyo. Watoto wakiwa wadogo umri wa miaka 1 mpaka 5-6 wakati wote ni mama na baba...hasa na mama, na wafikiapo miaka 6-10 marafiki huwa pia na baada ya hapo marafiki huongezeka na ule utegemezi sana wa mama na baba hupungua. Hap nilipata wasaa kuongea na kijana Erik...maana sio kila siku unaweza ukapata ule muda wa kubadilisha mawazo. Ilikuwa safi sana nadhani mnaweza kuona katika picha maana sura zinasema kila kitu.
JUMAMOSI NJEMA!!
Showing posts with label mama na kijana wake. Show all posts
Showing posts with label mama na kijana wake. Show all posts
Saturday, September 10, 2016
Tuesday, July 29, 2014
MTU UNAISHI MARA MOJA TU DUNIANI HAPA KWA HIYO UNAPASWA KUJIPA RAHA PALE UPATAPO WASAA NA WALE/YULE UMPENDAYE!!
Wakati mwingine mtu unapaswa kupumzika kupika ..kwa hiyo mimi na kijana wangu tulitoka nje na hiki chakula nilikula mimi au tusema tuliagiza tofauti na tukawa tunaonja kipi ni kitamu zaidi
Kama muonavyo nikawa naonja cha kijana"Pizza" huwa sipendi sana ila nilionja kwa vile naye alionja changu ambacho ni mshikaki wa nyama ngómbe, viazi na bonge la saladi bila kusahau cha kuteremshia mimi maji na kijana cocacola. Hapo sijui ni utamu au pozi??? Siku njema
Kama muonavyo nikawa naonja cha kijana"Pizza" huwa sipendi sana ila nilionja kwa vile naye alionja changu ambacho ni mshikaki wa nyama ngómbe, viazi na bonge la saladi bila kusahau cha kuteremshia mimi maji na kijana cocacola. Hapo sijui ni utamu au pozi??? Siku njema
Subscribe to:
Posts (Atom)


