Showing posts with label VIAZI MVIRINGO. Show all posts
Showing posts with label VIAZI MVIRINGO. Show all posts

Wednesday, August 27, 2014

MSIMU WA MAVUNO UMEFIKA /YAANI MWISHO WA BUSTANI KWA MWAKA HUU NA HAYA NDIYO BAADHI YA MATOKEO....!!!!

 viazi mviringo (sisi wangongo twasema matosani)
 Vitunguu saumu/swaumu
Na hapa ni vitunguu maji / au ni vitunguu vya kawaida
NAWATAKIENI SIKU NA KAZI NJEMA

Thursday, August 1, 2013

UTAMU WA KULIMA BUSTANI NI SASA: VIAZI VYA KULIMA KWA MIKONO YANGU MWENYEWE LEO TWALA....MLO WA JANA JIONI

 Hivi ni vile viazi angalia hapa na jana jioni ndiyo ikafikia muda wa kuangalia kama vyaweza kuliwa na matokeo yako yakawa kweli vyaweza kwa hiyo jana jioni tumekula viazi vya kulima Nangonyani.......kama
....uonavyo kwenye sahani hapa ni viazi , broccoli, nyanya kidogo, limao na samaki aina ya salmon(kiswahili ) nisaidieni ......kilikuwa kitamu mno....nawashauri wote mlio  na nafasi ya kulima bustani kulima viazi mviringo....NAWATAKIENI ALHAMIS NJEMA NA MWANZO MWEMA WA MWEZI AGOSTI:-)