Showing posts with label vazi. Show all posts
Showing posts with label vazi. Show all posts

Wednesday, May 10, 2017

KWANINI KHANGA LISIWE VAZI LA TAIFA TANZANIA?


Wakina mama wa Kitanzania wakiwa na vazi la Khanga,kwa mfano kama tukipendekeza vazi la taifa liwe khanga hivi kuna ubaya?

Tuesday, April 28, 2015

VAZI LA LEO...KAPULYA HUYOOO!!

Hili ndilo vazi langu la leo ...mwanamtindo Kapulya huyo:-)

Tuesday, March 18, 2014

KAPULYA NDANI YA NYEUPE NYEUPE..KUMBE NYEUPE NAYO NZURI!!!

 Hapa ilikuwa 2011
 Hapa 2013
Na hapa ni 2014 ingawa sketi si nyeupe  ila inaelekea huko huko...Kwa kawaida nilikuwa si mpenzi sana wa rangi nyeupe zaidi ya nilipåokuwa shule ya msingi, yaani kuvaa shati nyeupe. Na pia ile ndoto yangu ya kuwa sista maana ningekuwa navaa. Ila sasa ....kama watu wasemavyo mtu hubadilika napenda nyeupe ila sana sana nyeusi na  kijani:-).....SWALI:- Je wewe una rangi ambayo unaipenda sana kupita zote?

Friday, November 8, 2013

SARESARE MAUA....IJUMAA NJEMA KWA WOTE

 Nimependa sana vazi hili
Kwa hiyo katika pita pita kwenye maduka nikaona hii blauzi(tunika) nikanunua ila  nimeipenda zaidi ya huyu dada hapo juu. Mimi nimenunu indiska, mpiga picha kaka Erik:-).NAWATAKIENI WOTE MWISHO MWEMA WA WIKI HII....IJUMAA IWE NJEMA KWA WOTE.

Wednesday, May 9, 2012

JIONI NJEMA NA :-WANAWAKE WA SHOKA/ WANAWAKE NA VILEMBA ("WRAPS")

 Dada Mija wa http://damija.blogspot.se.
 Mama Ana Tibaijuka.
Na Winnie Mandela, aliyekuwa mke wa Mstaafu Rais Nelson Mandela.
JIONI NJEMA!!!

Thursday, October 13, 2011

PICHA YA/ZA WIKI:-SARE SARE MAUA ASIYEJUA KUCHAGUA KABILA YAKE ....

Dada Rachel

Hapa ni mama/dada wa Swahili na waswahili yupo ndani ya T-shirt ya TANZANIA na ......


Dada Yasinta/Kapulya
...ni mama/dada wa Maisha na Mafanikio naye hayupo nyuma tena kavilia hadi kitambaa/bendera kichwani..wamependeza :-)

Tuesday, May 18, 2010

Swali la leo:- Hivi kwanini kanga mnyama anaitwa kanga na Kanga vazi ni kanga zina uhusiano gani?

Kanga kama mnyama
Kanga kama vazi hasa kwa wanawake!!
Nimekuwa nikijiuliza miaka yote hii leo nimeona niwailize ndugu zangu kwani umoja ni nguvu utengano ni udhifu. Na anayeuliza sana basi anajua mengi...a.k.a KAPULYA MDADISI.