Showing posts with label bururdani. Show all posts
Showing posts with label bururdani. Show all posts

Friday, October 1, 2010

Ni Ijumaa mpja ya mwezi, kula kwanza halafu kunywa!!

Napenda kuwatakieni IJUMAA njema na mpya /ya kwanza ya mwezi huu wa kumi. Kila mtu leo atasema sasa nimemaliza kazi ngoja nipumzika na nipate moja baridi!ugimbi. Ni sawa lakini kumbuka kula kwanza ni MUHIMU sana. IJUMAA NJEMA!!!

Friday, September 11, 2009

MICHEZO NI MOJA YA MAISHA HAPA NI HUKO HACHIOJI TOKYO

Hapa ni Mtanzania mwenzetu aliyekuwa kwenye mashindano ya karate huko Hachioji Tokyo Japani. Akipokea cheti.

Hapa akina dogo wakiwatoana jasho.

picha ya tatu akina dada nao hawapo nyuma .