Napenda kuwatakieni IJUMAA njema na mpya /ya kwanza ya mwezi huu wa kumi. Kila mtu leo atasema sasa nimemaliza kazi ngoja nipumzika na nipate moja baridi!ugimbi. Ni sawa lakini kumbuka kula kwanza ni MUHIMU sana. IJUMAA NJEMA!!!
Showing posts with label bururdani. Show all posts
Showing posts with label bururdani. Show all posts
Friday, October 1, 2010
Ni Ijumaa mpja ya mwezi, kula kwanza halafu kunywa!!
Napenda kuwatakieni IJUMAA njema na mpya /ya kwanza ya mwezi huu wa kumi. Kila mtu leo atasema sasa nimemaliza kazi ngoja nipumzika na nipate moja baridi!ugimbi. Ni sawa lakini kumbuka kula kwanza ni MUHIMU sana. IJUMAA NJEMA!!!Wednesday, September 23, 2009
MWENZENU LEO NIMEKUMBUKA KWELI NYUMBANI UNGANENI NAMI ILI TUANGALIE NA KUSIKILIZA HAPA (TUPO UNGONINI) MKOANI RUVUMA
Jumuikeni nami kuimba kwa lugha hii ya kingoni. Tupo pamoja.
Friday, September 11, 2009
MICHEZO NI MOJA YA MAISHA HAPA NI HUKO HACHIOJI TOKYO
Hapa ni Mtanzania mwenzetu aliyekuwa kwenye mashindano ya karate huko Hachioji Tokyo Japani. Akipokea cheti.picha kwa hisani ya http://mumyhery-jp.blogspot.com/
Subscribe to:
Posts (Atom)

