FURAHIA BURUDANI HII...
Dada Saida Karoli amerudi tena uwanjani, na mambo mootoo kweli kweli. Endelea dada Saida Karoli kuiwakilisha Tanzania, Afrika Mashariki na jamii zotw za kiBantu popote tu/walipo!!! JUMAMOSI NJEMA WANDUGU
Showing posts with label burudani afrika. Show all posts
Showing posts with label burudani afrika. Show all posts
Saturday, May 14, 2011
Thursday, January 20, 2011
PICHA YA WIKI: ALA ZETU
Picha hii imenifanya nimkumbeke baba mmoja kule Madaba alikuwa akitoka Madaba mpaka Songea na Zeze yake kwa mguu. Walikuwa wakimwita Perege alikuwa akipita kila kijiji na kupiga zeze yake. Baada ya kukumbuka hivi nikaona si mbaya kama ikiwa picha ya wiki. TUKUTANE TENA WAKATI MWINGINE:-)
Tanzanian traditional instruments Zeze from Martin Neil on Vimeo.
Sunday, March 15, 2009
KARIBUNI CHAI BORA+JUMAPILI NJEMA

Ukitaka kukosana nami basi ninyime chai, tena bila sukari hapo tutakosana sana. Kama wasemavyo wakati wowote ni wakati wa chai.
lebo:
burudani afrika,
chai,
kinywaji,
Kumbukumbu,
raha,
tanzania
Subscribe to:
Posts (Atom)