Showing posts with label maliasili. Show all posts
Showing posts with label maliasili. Show all posts

Friday, April 4, 2014

Tuesday, December 11, 2012

KUMBUKUMBU .....TANZANIA!!!!!

 Shamba la katani ...ni Morogoro karibu na mlima wa Uluguru


Twiga wa Serengeti
Ngorongoro Crater

Thursday, July 5, 2012

WANYAMA:- NDIZO PICHA ZILIZOCHAGULIWA NA MAISHA NA MAFANIKIO KUWA ZA WIKI HII!!!

 Nawapenda sana wanyama hawa Twiga...wana pendeza pia wana mwendo wa maringo...
 Na Chui nao wamo....
 
Pundamilia ..ebu angalia mwonekano huu hapa ....
Na hapa ni Ndovu/Tembo...huwa wanaonekana wapole lakini ..nakumbuka siku moja nilinusurika ilikuwa Tarangire tulikuwa tumepiga hema eeh bwana wewe ingekuwa hadithi nyingine kabisa..

Tuesday, June 29, 2010

Maliasili zetu!!!!

Hakuna mnyama ninayempenda kama twiga. Mama na mtoto hapo !!!