Showing posts with label umoja ni nguvu. Show all posts
Showing posts with label umoja ni nguvu. Show all posts
Monday, February 4, 2019
TUANZE MWEZI HUU WA PILI KWA PICHA HII:-UMOJA NI NGUVU
Wednesday, May 28, 2014
UMOJA NI NGUVU !!!
Ni raha pale wote mnaposaidiana kazi sio kumwachia mmoja tu. Hapa akina mama na watoto wanamenya karanga ingawa wengine wanapeleka mdomoni lakini wamejumuika kuifanya kazi...inavyoonekana ni karanga kwa ajili ya mbegu au labda kuunga mboga....Raha sana kushirikiana.....
....na hapa vijana hawapo nyumba wanasaidia kazi za nyumbani hapa wanakoboa mahindi. Wananikumbusha enzi hizi tulivyokuwa tukikoboa mahindi au kutwanga mihogo na kaka zangu. Nani anasema kazi ya kutwanga au kukoboa ni ya akina dada/mama tu? Nimependa sana hii Je na wewe umependa?:-)
....na hapa vijana hawapo nyumba wanasaidia kazi za nyumbani hapa wanakoboa mahindi. Wananikumbusha enzi hizi tulivyokuwa tukikoboa mahindi au kutwanga mihogo na kaka zangu. Nani anasema kazi ya kutwanga au kukoboa ni ya akina dada/mama tu? Nimependa sana hii Je na wewe umependa?:-)
Wednesday, December 10, 2008
MKOKOTENI+USAFIRI+UMOJA+MBOLEA =MAISHA
Subscribe to:
Posts (Atom)



