Showing posts with label mkulima. Show all posts
Showing posts with label mkulima. Show all posts

Tuesday, May 29, 2012

BUSTANI YANGU INAVYOONEKANA KWA SASA..AU JANA JUMATATU!!!

 Hapa ni kaeneo ambako huwa nalima bustani  za mbogamboga za aina mbalimbali. Na jana Jumanne ya 28/5-12 ndio nimepanda . nimepanda Corrot, maharagwe, mchicha, maboga, figiri, vitunguu, nyanya, nk. Kutokana na hali ya hewa kuwa si nzuri sana mwaka huu inasemekana nimechelewa kidogo....Ila baada ya wiki chacha nategemea mimea itakuwa imeanza kuota...au kuwa kama ...


...katika bustani hii hapa . Majibu tutayapanda karibuni. Hii ndiyo moja ya shuguli nilizozifanya jana. PAMOJA DAIMA SANA!!!

Friday, August 8, 2008

8,8 .2008 SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE








Mwenzenu nilisahau kabisa kuwa leo ni sikukuu ya nane nane. Kuna rafiki kanikumbusha asante sana kwani bila wakulima hatungekula.