Showing posts with label maisha kwa afya. Show all posts
Showing posts with label maisha kwa afya. Show all posts

Tuesday, January 21, 2014

MAISHA:- USAFIRI/USAFIRISHAJI KWA NJIA YA BAISKELI...HUPUNGUZA GHARAMA NA PIA MTUMIAJI HUWA NA AFYA NJEMA PIA NI SAFI KWA MAZINGIRA!!!

 Katika maisha usikaa tu na kungoja ..lazima kujishughulisha. Hapa kijana yupo safirini kuelekea soko la kuuza ulazi ila kujipatia kitoweo/chakula. Baiskel zinasaidia sana miaka hii tafauti na miaka tuliokulia wengine kila kitu ilikuwa na kichwani....
 Na hapa anasafirisha chakula, Ndizi hizo..
Naye huyu anaelekea sokonoi kuuza mananasi yake
Na hapa ni baiskel yangu. Kwa kweli usafiri wa baiskel ni mzuri sana na wa haraka huhitaji kusubiri foleni. SWALI:- Umegendua nini kati ya baiskel hizi nne?....Nawatakia JUMANNE NJEMA SANA WOTE

Wednesday, October 8, 2008

BIA POMBE ZA KIWANDANI


Hapa ni ndovu, serengeti, kilimanjaro, safari, pilsner na tusker