Showing posts with label mziki. Show all posts
Showing posts with label mziki. Show all posts

Friday, March 15, 2019

ZILIPENDWA- MOROGORO JAZZ BAND ATT RTD DAR ES SALAAM


NAWATAKIENI MWISHO MWEMA WA JUMA .
UJUMBE WANGU WA LEO:- AMANI, UPENDO NA FURAHA NDIYO VIVWE NGUZO YETU. Kapulya wenu.

Tuesday, November 7, 2017

LEO NIMEKUMBUKA ZILIPENDWA


Hakika nisikilizipo miziki aina hii nakuwa na furaha ya pekee maana mtu waweza kusikiliza na kujifunza kitu ...JUMANNE NJEMA WAPENDWA WA ZILIPENDWA.

Monday, September 25, 2017

WIKI HII TUANZE NA ZILIPENDWA KWA NJIA YA UJUMBE WA MZIKI


NAWATAKIENI WOTE MWANZO MWEMA WA SIKU AMBAYO KILA WIKI INAANZA NA JUMATATU:-) KAPULYA WENU.

Wednesday, October 12, 2016

LEO TWENDE NA ZILIPENDWA - SHAURI YAKO


JE? UNAUKUMBUKA HUU PIA KASONGO

NIWATAENI SIKU NJEMA ...KUMBUKENI TUPO PAMOJA.

Wednesday, April 29, 2015

ZILIPENDWA:- MWANAUME HUMWOMBA MWANAMKE KUCHEZA NAYE!

Ni vijana wa enzi hizo walipokuwa wakisakata. Unaona raha ya mziki ilivyo, mwanamke mpaka kavua viatu na kuweka kando. Ama kweli ...Haya tuungane nao basi:-) Kapulya

Friday, March 15, 2013

NIMEPENDA WIMBO/NYIMBO HII/UJUMBE HUU KUHUSU KUPENDA..UNAWEZA KUSIKILIZA UKIPATA WASAA!!!

NACHUKUA NAFASI HII NA KUWATAKIENI WAOTE MCHANA, JIONI,ASUBUHI AU USIKU NJEMA YA IJUMAA HII..NA IWE YA UPENDO NA AMANI.TUPO PAMOJA DAIMA!!!

Friday, January 25, 2013

NAWATAKIENI WOTE IJUMAA NJEMA KWA WIMBO HUU:- MOYO WA SUBIRA NA LINEX!!!!


IJUMAA NJEMA JAMANI ...TUWE NA MOYO WA SUBIRA HATA KAMA TUMEUMIA/UMIZWA....KAPULYA

Friday, November 16, 2012

BAADA YA KAZI YA KAZI KWA JUMA NZIMA KWA WENGINE BASI KAA CHINI NA SIKILIZA UJUMBE HUU...NA UWE NA MWISHO WA JUMA MWEMA.....ZILIPENDWA!!!


NAWATAKIENI WOTE IJUMAA NJEMA KUNA WENGI  WATAPUMZIKA MPAKA JUMATATU NA WALE WANAO ENDELEA NA KAZI JUMAMOSI NA JUMAPILI BASI NIWATAKIENI KAZI NJEMA MOJAWAPO NIKIWA MWENYEWE....WOTE MNAPENDWA...KAPULYA

Thursday, October 25, 2012

SI MWINGINE TENA BALI NI NURU WETU AMEFANYA TENA KILE ANACHOKIWEZA...HAYA EBU MSIKILIZE HAPA HUU WIMBO MPYA CHAPA LAPA!!

Nachukua nafasi hii na kumpongeza dada Nuru kwa kazi nzuri aliyoifanya.Ni ujumbe mzuri kama una muda sikiliza ...chapa lapa kaka sitaki tena mapenzi kila siku unachanganya danganya  danganya toto ..aahhh sikiliza mwenyewe...

Kila la kheri !!!

Friday, June 22, 2012

IJUMAA NJEMA... Mziki Asili Yake Wapi!!!!


Mziki asili yake nini usiniona naimba ukazani ninayo furaha kumbe ninayo huzuni moyoniiii......haya endelea kuimba nawe..
IJUMAA NJEMA SANA NDUGU ZANGUNI!!!

Thursday, May 10, 2012

JELA -NA HUSSEIN MACHOZI

Nimeupenda wimbo huu wa Hussein Machozi na hasa ujumbe wake kuhusu jela. Ukipata muda hebu jaribu kuusikiliza.


Maisha haya jamani kaaazi kwelikweli...Bora nirudi jela.....!!!

Friday, April 20, 2012

MZIKI NI MOJA YA BURUDANI KATIKA MAISHA....


Leo nimepumzika kubeba maboxi  na bahati mbaya huko nje kuna mvua na kaubaridi kwa hiyo nikawa niriwadhika kwa kikombe cha chai na mziki, na ndipo nikakutana na kipande hiki na nikaona ni vizuri niburudike nanyi....jioni njema kwa wengi na wengi sijui asubuhi, mchana au usiku?

Monday, February 20, 2012

NAWATAKIENI JIONI NJEMA WOTE NA WIMBO HUU!!!


Leo nipo tu hapa nyumbani katika kusikiliza nyimbo angalau siku iishe haraka na pia kuondoa upweke, nimekutana na wimbo huu nimeupenda kwani ni kweli mambo ya kuchaguliwa mchumba ... ngoja niache...

Thursday, September 22, 2011

Tamasha Maalum la Kumuenzi Hayati Dr. Remmy Ongala

Salam,

http://www.youtube.com/watch?v=huNcBwH9_UQ

Aziza Machozi Ongala na mumewe Miael McGeachy, mzawa wa Jamaika, wakiongea na Urban Pulse na Freddy Macha kuhusu shughuli zao kuimarisha kumbukumbu na kazi za mwanamuziki Remmy Ongala aliyefariki Desemba 2010, mjini Dar es Salaam.
Mahojiano yalifanywa katika Ubalozi wa Tanzania, London.

Habari zaidi bofya : http://www.thedkremmyongalafoundation.com/

Asanteni,

URBAN PULSE CREATIVE Wakishirikiana na Freddy Macha

Saturday, May 14, 2011

JUMAMOSI NA JIONI NJEMA KWA WOTE KWA WIMBO HUU MPYA WA DADA SAIDA KAROLI!!!

FURAHIA BURUDANI HII...


Dada Saida Karoli amerudi tena uwanjani, na mambo mootoo kweli kweli. Endelea dada Saida Karoli kuiwakilisha Tanzania, Afrika Mashariki na jamii zotw za kiBantu popote tu/walipo!!! JUMAMOSI NJEMA WANDUGU

Friday, April 1, 2011

IJUMAA NA MWISHI WA JUMA MWEMA KWA KIBAO HIKI!!



Nawatakieni wote MAPUMZIKO MEMA NA TUTAONANA TENA WAKATI MWINGINE!!!

Tuesday, March 22, 2011

Tanzania:- Baadhi ya wanamuziki wa Five Stars wafariki ajalini




Nawatakia nafuu na afya njema majeruhi na kuwaombea wapone haraka.
Pole kwa wote waliofikwa na msiba huu.
Roho za marehemu zipumzike pema.

Friday, March 18, 2011

TUANZE MAPUMZIKO KWA BURUDANI ......



Mimi naamini mziki ni moja ya burudani ya sisi binadamu kwa hiyo napenda kuwatakieni mapumziko mema ya mwisho wa juma. Najua wengine tutakuwa tunafanya kazi lakini kutapatikana tu kamuda kiduchu kupumzika basi ndo hapo pa kujiburudisha na mziki. najua pia sisi binadamu huwa tunapumzika/starehe/burudika tafauti lakini sidhani kuna mtu asiyependa mziki kama wengi wanavyosema WAAFRIKA ni watu wenye miziki ndani ya miili yao tangu tuzaliwe....IJUMAA NJEMA NA TUTAONANA WAKATI MWINGINE!!!

Friday, July 2, 2010

Nawatakieni Ijumaa njema kwa wimbo huu!!



IJUMAA NJEMA WAPENDWA NA MWISHO WA JUMA MWEMA!!!!

Friday, February 5, 2010

Nawatakieni mwisho wa juma mwema!!!



Natumaini wiki hii kwa wengi imeisha vizuri. Basi kama umemaliza kazi kaa chini na upumzike na usikilize mziki hii ukiwaza kitu kama una cha kuwaza la sivyo atapata mawazo kwa kusikiliza na kumuwaza umpendae ambaye yupo mbali nawe.

IJUMAA NJEMA NA WOTE MNAPENDWA!!