Nimefika jana jioni .Hapa ni Jumamosi ya tarehe 6/8 nikiwa Silver Sand Dar Es Salaam.......Kapulya huyooooooo!!
Showing posts with label salama. Show all posts
Showing posts with label salama. Show all posts
Monday, August 8, 2011
Friday, December 24, 2010
SALAMU ZA CHRISTMAS KUTOKA SWEDEN!!!
Wednesday, May 26, 2010
Maji safi na salama ya kunywa kwa kutumia jua!!
Maji ni muhimu kwa kila binadamu, maji bila wadudu ni muhimu zaidi. Wengi kwa kuatapa Kupata maji salama tunahitaji kuchemsha. Lakini sasa unaweza kupata maji bila kutumia kuni au mkaa sio ndoto, kama unatumia "Solvatten". soma hapa
Thursday, February 26, 2009
NATAKA KUMSHUKURU MUNGU KUWA NIMESAFIRI SALAMA
Habari za siku chache wanablog na wasomaji wote napenda kuchukua nafasi hii na kusema ya kwamba, nimesafiri salama na nimerudi tena hapa kijiwe. Ili niweze kuwa nanyi pia napenda kuwashukuru woooote kwa sala na upendo wenu nakujua mlikuwa mnaniombe nisafiri salama. Ni hayo tu.
Wednesday, December 31, 2008
NIMEFIKA SALAMA
Napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kunilinda mimi na familia yangu katika safari hii ndefu. Tumefika salama mpaka hapa Dar, safari bado inaendelea. Yaani mpaka Songea kama mnavyojua natoka Songea mngoni. Raha sana kuwa nyumbani joto, watu wachangamfu halafu nyumbani ni nyumbani. Leo sisemi kazi kweli kweli ila nasema raha kwelikweli.
Kwa hiyo napenda kuchukua nafasi hii kwa kuwatakieni wootee HERI SANA KWA MWAKA MPYA 2009. Ila mimi nafaidi zaidi kwa wale wote waliokuwa kwenye nchi za baridi. Ha, ha, haaaaa.
Kwa hiyo napenda kuchukua nafasi hii kwa kuwatakieni wootee HERI SANA KWA MWAKA MPYA 2009. Ila mimi nafaidi zaidi kwa wale wote waliokuwa kwenye nchi za baridi. Ha, ha, haaaaa.
Subscribe to:
Posts (Atom)