Showing posts with label mbuzi. Show all posts
Showing posts with label mbuzi. Show all posts
Wednesday, May 13, 2015
HILI NI CHAGUO LA MAISHA NA MAFANIKIO :- PICHA YA WIKI
Mbuzi wameamua kupanda mpaka juu kabisa maana huko ndiko chakula kipo...Sijui ningeweza kufanya hivyo?
Tuesday, June 5, 2012
KWANINI PILIPILI MBUZI INAITWA HIVYO? NA JE KWA NINI HIKI CHOMBO ZA KUKUNIA NAZI PIA CHAITWA MBUZI?
Pilipili mbuzi zikiwa kwenye mti jee unajua kwanini zina itwa Pilipili Mbuzi? ni kwa kuwa zina faa sana kwenye supu ya Nyama ya Mbuzi au?
N ahap ni mbuzi mwenyewe , sioni kama kuna mfanano hapa...
...na hapa sasa ni kifaa cha kukunia nazi nacho kinaitwa MBUZI . Mara chache nimesikia wengine wakisema kikunio au je kuna jina jingine ambalo mimi sijawahi kulisikia...naamini kwa pamoja tutafika pahala pazuri. Mchana,jioni au sijui usiku mwema....KAPULYATuesday, June 9, 2009
Monday, December 8, 2008
KUASAIDIA KAZI ZA NYUMBANI
Subscribe to:
Posts (Atom)



