Showing posts with label mbuzi. Show all posts
Showing posts with label mbuzi. Show all posts

Wednesday, May 13, 2015

HILI NI CHAGUO LA MAISHA NA MAFANIKIO :- PICHA YA WIKI

Mbuzi wameamua kupanda mpaka juu kabisa maana huko ndiko chakula kipo...Sijui ningeweza kufanya hivyo?

Tuesday, June 5, 2012

KWANINI PILIPILI MBUZI INAITWA HIVYO? NA JE KWA NINI HIKI CHOMBO ZA KUKUNIA NAZI PIA CHAITWA MBUZI?

Pilipili mbuzi zikiwa kwenye mti jee unajua kwanini zina itwa Pilipili Mbuzi? ni kwa kuwa zina faa sana kwenye supu ya Nyama ya Mbuzi au?
N ahap ni mbuzi mwenyewe , sioni kama kuna mfanano hapa...
 ...na hapa sasa ni kifaa cha kukunia nazi nacho kinaitwa MBUZI . Mara chache nimesikia wengine wakisema kikunio au je kuna jina jingine ambalo mimi sijawahi kulisikia...naamini kwa pamoja tutafika pahala pazuri. Mchana,jioni au sijui usiku mwema....KAPULYA



Tuesday, June 9, 2009

KWELI NI HAKI AU INAWEZEKANA KWELI?

Je? ni huruma au?


Na hapa je?

Picha hizi zinatoka kwa kaka Mjengwa. Ama kweli duniani kuna mambo!!!!

Monday, December 8, 2008

KUASAIDIA KAZI ZA NYUMBANI

Hapa nimekumbuka nilipokuwa mdogo kutoka tu shuleni kwenda kuwafungulia mbuzi. je? kuna mtu ambaye hajafanya kazi hii.