Showing posts with label kanisa. Show all posts
Showing posts with label kanisa. Show all posts

Sunday, October 6, 2013

NI JUMAPILI YA MWAKA C:LEO TUTEMBELE KIJIJINI KWETU LITUMBANDYÓSI/PAROKIANI

Kanisa hili nimesali mara nyingi sana ni KANISA LETU LA PAROKIA YA LITUMBANDYÓSI . NAWATAKIENI JUMAPILI NJMA SANA WOTE MTAKAOPITA HAPA.


Sunday, September 9, 2012

KANISA NI KANISA...JUMAPILI NJEMA KWA WOTE!!

Kumwomba mungu/kusali si lazima kuwa  na kanisa la kifahali. Tena inawezekana kanisa kama hili ndio maombi yako yatapokelewa zaidi kuliko kwenye makanisa ya kifahami. Kumwomba Mungu ni sehemu yoyote ile na maombi yatapokelewa. Nimelipenda kanisa hili...JUMAPILI IWE YENYE UPENDO NA BARAKA KWA WOTE.

Sunday, September 4, 2011

Jumapili ya leo inatupeleka mpaka Mkoani Njombe katika Kijiji cha Uwemba/kanisa la Uwemba!!!

Hapa ni kanisa la UWEMBA. Kijijini Uwemba Wilayani Njombe.
Jengo hili ni sehemu ambayo mifugo ipo pia ni jikoni.

Na jengo hili ni sehemu ambayo mapadere wanapumzika pia ni sehemu ya kula chakula.
Duh! siku zinakimbia kwelikweli mara hii ni tarehe 5/9 ni jumapili ya kwanza ya mwezi huu kaaazi kwelikweli....JUMAPILI NJEMA WANDUGU:-)

Monday, December 15, 2008

HAPA NI JIMBONI MBINGA


Leo nitakuwa kimya nasubiri wenzangu mseme !!!

Saturday, September 13, 2008

JUMAPILI NJEMA

Hili ni kanisa langu ambalo wakati naishi Songea (mahenge) nilikuwa kila jumapili nakwenda kumshukuru mungu hapa. Ni Kanisa la Matogoro.






Na hapa ni kanisa ambalo nilipata Kipaimara wakati naishi ubenani. Ni kanisa la Maweso. Jumapili njema tena kwa wote.

Sunday, August 31, 2008

AGOSTI 31, 2008 NYUMBANI(KUNYUMBA)

Peramiho kwa mbali






Kanisa la Peramiho




Angalien jinsi kunavyopendeza au mnasemaje. msione aibu jamani ni kuzuri. Karibuni sana Ruvuma Peramiho.