Showing posts with label Mbamba bay. Show all posts
Showing posts with label Mbamba bay. Show all posts

Wednesday, August 16, 2017

KUMBUKUMBU:- LEO TUTEMBELEE MBAMBA BAY...NA UVIVU WA DAGAA...

 Kama muonavyo dagaa wakiwa katika maandalizi ya kukaushwa - kibiashara zaidi 

Tuesday, June 14, 2016

LEO TUPO KIJIJI FULANI MBAMBA BAY...

Nimeipenda taswira hii..inanikumbusha mbali sana. Hakika tumetoka mbali ...ngoja niache panapo majaliwa tutaonana tena. Kapulya.

Thursday, May 22, 2014

USISAHAU ULIKOZALIWA/TOKA..KWETU NYASA HAPA!!!

Mtazamo/mandhari ya kuvutia ya ziwa nyasa hapa ni Mbamba  Bay Mkoani Ruvuma.