Friday, September 3, 2010

Huyu ni mrembo wa wiki hii, Je? unamfahamu huyu??

Napenda kuwatakieni wote Ijumaa njema. Picha hii nimeipenda na nimeona iwe ni picha ya wiki hii. Jipende kwanza mwenyewe na wengine watakupenda!!! Juma ndio linaisha sasa, kwa wengi ni wakati wa kumpumzika, na wengine kazi kama kawaida. Basi nasema tena nawatakieni wote muwe na wakati mzuri. IJUMAA NJEMA!!

5 comments:

Mzee wa Changamoto said...

Ni mrembo kwelikweli
Nawe Ijumaa njema Dada

Mzee wa Changamoto said...

Kumbe lilikuwa ni swali?
Hahahahaaaaaaaa.
Ni Da Mdogo Aggy wa Kiduchu. Mdodosa kwa adoado lakini ado ado yake yaadodisha vya kutosha
Ati niliambiwa ni "pacha wa hiari" wa "nusu-yangu-njema"
Go Aggy. Umeheshimika kuwa ulivyo. Yaani kuwa MREMBO WA WIKI

chib said...

Nahisi mpaka niazime miwani, labda ndio naweza kujibu. Ijumaa njema kwako pia

o'Wambura Ng'wanambiti! said...

ayaaaa!!! huyo sheikhat KIDUCHU..lol!

Ila sijui na juwa najiuliza uduchu uko wapi hasa...lol!

mumyhery said...

ni mrembo sana, Ijumaa njema na kwako pia.
shukran