Wednesday, September 30, 2009

HÖST/AUTUMN = MAJIRA YA BARIDI YA KUPUKUTIKA MAJANI BRRRRRRR!!!!

Hapa ni leo mchana kama saa nane hivi

Nadhani mnaona vazi la leo ni tafaouti na picha nyingine kwani sasa baridi imeanza leo asubuhi iliwa -0.4C. Waliofika Njombe, Iringa Makambako na pia Mbeya wanajua. Mmmmh kazi inaanza sasa kaziiiii kwelikweli, maana mtu unavaa nguo na mwisho unaonekana kama una kilo elfu kumi. Haya ngoja niache.

18 comments:

chib said...

Wakati wa watu kununa umekaribia. Vicheko vyote na tabasamu vya summer ndio vipo ukingoni.

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

ndoa zitakuwa na maana sana nyakati kama hizo.

PASSION4FASHION.TZ said...

Model Yasinta akipozi kwa picha kuonyesha mavazi ya winter 2009/2010...lol,unafaa kweli kuwa model hongera sana.

Bennet said...

Poleni sana yaani ni kama mnaishi kwenye jokofu

Shein Rangers Sports Club said...

Pole kwa baridi sister!

Faith S Hilary said...

Mmh...mbona kwenu temperature imeshuka mapema? Huwezi kuamini sisi bado tunapata 18 degrees celcius...iko nice but it brings spiders lol!

Unknown said...

Dada kwa hiyo huu sio msimu wa kuvaa vimini huko....!!!!!???

Sisulu said...

ni wakati wa uchumi wa wauza makoti,mablanketi, na vipasha nyumba kuimarika, ndoa ztaimarika pia, sisi huku joto kama kawaida -WASALAAAM huko ughaibuni dada Yasinta

Simon Kitururu said...

Sasa hivi visirani vya kiwinta vitaanza mambo yote kununiana!:-(

Umependeza lakini Dada Yasinta !

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Chib, ni kweli kabisa sasa ndio ule wakati wa kununa na ni ule wakati wa kutowaona majirani.

Kamala, inawezekana ni kweli.

dada Passion4fashion.Tz asante sana labda niache hii kazi niliyonayo na kuanza kazi ya model au unasemaje? Ahsante dadangu

Kaka Bennet, Ahsante ila huu ni mwanzo tu na bado.

Shein Ranger sports club, asante sana.

Candy1, Hongera kwa kuwa bado na joto kiasi hapa hakuna mchezo hasa asubuhi.

Kaka Shabani, vimin unawezw kuvaa ila inabidi utangulize nsuruali nzito kidogo ili isiganfde na baridi.

Tandasi, ni kweli sasa maduka ya makoti wanauza sana . Na asante salam zimefika

Mt. Simon, vipi huku Finland bado baridi haijaanza. Na ahsante kwa kuona nimependeza:-)

Chacha Wambura said...

Naona jhaijafikia hatua ya kuvaa gloves mikononi...lakini mbona huwa hamvai gloves usoni? ..lol

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante chaha Wambura huo ni ubunifu mzuri gloves usoni. Tunavaa mikononi hasa asubuhi.pia hilo koti ni dogo linafaa kwa sasa tu baadaye itabidi kubwa zaidi.

Mija Shija Sayi said...

Umependeza mno rafiki yangu.

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante sana dada Mija.

Mjengwa said...

Da' Yasinta umenikumbusha mbali. Napenda sana majira ya host. Na labda niseme kwa kilugha chenu cha huko. Jag alskar host, det ar underbart period speciel nar lov borja byta farger. Det ar sadan man kan langtar tillbaka till Sverige. Na Natamani pia kuwa Sweden wakati wa winter maana nilipokuwa huko niliweza kujifunza ku-skii na nilipenda sana ku-skii men inte slalom!
Maggid

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Mjengwa! Tack så mycket jag tycke lite grann höst och vinter tycker jag inte om. Vad kula att du tycker om at åka skidor. Karibu tena hapa kibazai kwangu.

Anonymous said...

Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com

Anonymous said...

Uchawi wa mapenzi wa Dkt. Dawn hufanya maajabu kweli.

Niliwasiliana na Dkt. Dawn wakati uhusiano wangu ulipovunjika kabisa. Mpenzi wangu wa zamani alikuwa ameniacha na kunizuia kwenye mitandao yote ya kijamii. Nilivunjika moyo na kupoteza tumaini. Baada ya kushauriana na Dkt. Dawn, kila kitu kilibadilika. Mpenzi wangu wa zamani alirudi peke yake, akaomba msamaha kwa dhati, na akaomba msamaha. Leo, tunaishi pamoja kwa furaha, na hata tuna mtoto.

Maneno hayatoshi kuelezea jinsi ninavyoshukuru. Kutokana na uzoefu wangu, naweza kusema kwa ujasiri kwamba Dkt. Dawn ni halisi, anayetegemewa, na mwenye nguvu. Ikiwa unakabiliwa na hali yoyote ngumu maishani mwako hivi sasa, Dkt. Dawn anaweza kukusaidia.

ANAWEZA KUKUSAIDIA KWA MATATIZO YAFUATAYO:
Kurudisha ndoa na mahusiano yaliyovunjika
Kuvutia mafanikio na ukuaji katika biashara
Matatizo ya uanaume, utasa, na ukosefu wa watoto
Kurejesha mali zilizoibiwa au zilizopotea
Kurudisha kazi zilizopotea au fursa za kazi
Kinga dhidi ya uchawi na macho mabaya
Hirizi za mvuto
Kutatua migogoro ya ardhi na mali
Kuwafanya wapenzi kutimiza ahadi zao
Kushinda kesi mahakamani, na mengine mengi
Huu si ulaghai — ni ushuhuda kutoka kwa uzoefu.
Kwa maelezo zaidi, wasiliana naye moja kwa moja kwenye WhatsApp. +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com