Wednesday, May 8, 2019

BADO NIPO KWETU RUVUMA NAFAIDI HIVI VYAKULA VYA ASILI

Hapa ni mchanganyika wavyakula nivyopendavyo yaani mahindi ya kuchemsha pamoja na maboga/mapondo na  halafu njugu....
......na hapa ni kikande yaani hiki ndo cha asili kabisa,  hakina radha saa lakini ni kitamu
Na hapa ni kumbikumbi napenda sana kumbikumbi. Na nafurahi kwamba miaka kadhaa ijayo karibu dunia nzima kutakuwa na chakula kama hiki, yaani kumbikumbi, nzige, mende nk. TUKUTANA TENA WIKI IJAYO....KAPULYA WENU.

No comments: