Tuesday, July 17, 2018

WIKI HII TUANZE NA KWETU NYASA ...KUMBUKUMBU

Kiukweli leo nimekumbuka sana NYASA/LUNDO kwetu  nilikozaliwa kwenda tu ziwani unapata samaki, dagaa na hata likungu. Naona fahari sana kuzaliwa Kando ya ziwa nyasa, Unajua samaki wanaotoka tu kuvuliwa wanavyokuwa watamu wewe acha tu... Niwatakieni JUMANNE NJEMA. WOTE MNAPENDWA. Kapulya!

No comments: