Friday, June 8, 2018

UJUMBE WA IJUMAA YA LEO :- HAIJALISHI TABIA YA MTU ILA UKWELI MOYO UKISHAPENDA UMEPENDA....!


Mapenzi ni hisia kamilifu zitokazo ndani ya moyo wa mwanadamu. Hisia hizo hukamata pindi macho yaonapo, moyo upendandapo kile macho yaonapo. Haijalishi tabia ya mtu ila ukweli moyo ukishapenda umependa.
Na ukilazimisha kubadilisha utalazimisha maumivu makali yawezayo kuondoka na furaha  na kukuachia simanzi pamoja na mawazo tele.

2 comments:

Frey Nyoni said...

Haswaa...100% upo sahihi

Yasinta Ngonyani said...

:-) Ahsante kukubaliana nami!