
Nami nachukua nafasi hii kwa kuwapongeza akina baba, wa kwanza ni baba yangu mkubwa mzee Lotary Ngonyani, wa katikati ni baba yangu wa kati Efraimu Ngonyani na wa tatu ndiye baba yangu mzazi Mzee Gervas Ngonyani. NAJIVUNA SANA KWA UWEPO WENU. MWENYEZI MUNGU AWABARIKI NA KUWALINDA MUWE NA AFYA NJEMA.

Na hapa ni baba yake Camilla na Erik. Hongera kwa siku ya baba baba yetu pia tunapenda kukuambia ya kwamba wewe ni baba bora hata kama kuna ambaye hatakubaliana nasi lakini huo ndio mtazamo wetu. Kwani pale tunapohitaji msaada wako haupo nyuma kutusaidia kimasoma na pia kwa mambo mengine. BABA SISI WANA TWAKUPENDA SANA NA UWE NA SIKU NJEMA KWA SIKU HII YA AKINA BABA/FARS DAG. Hata hivyo tunapenda pia kuwapa HONGERA AKINA BABA WOTE DUNIANI. Camilla na Erik.