Showing posts with label bara la afrika na bara la asia. Show all posts
Showing posts with label bara la afrika na bara la asia. Show all posts

Monday, April 11, 2011

MWENZENU NIMEGUNDUA KUWA!!!!!...............

Inasemekana kuwa kuna tofauti kati ya tembo wa Afrika na tembo wa India(Uhindi) hebu angalia tofauti zao na kufananakwake hapa chini:-


Tembo wa afrika wana masikio makubwa na pembe kubwa.



Masikio yao yanafanana na Ramani yetu ya Afrika!!



Tembo wa India wana masikio madogo na pembe ndogo.



Pia masikio yao yanafanana na Ramani ya India .


Je Uligundua hili wewe pia??