....nikaikatatakata kama muonavyo katika picha , wakati huo nishaweka maji katika sufuria ...
...ipo ndani ya sufuria ili ishemshwe kwa muda wa dadika 2-5
na hapa baada ya dakika 2-5 inaonekana hivi, baada ya hapa nasubiri ipoe na halafu
...naiweka katika mifuko kwa ajili ya akiba na pia naandika tarehe na ni mboga aina gani, baada ya hapo ni kuweka kwenye friza(freeze) ...mjanja eehhh:-)