Friday, December 4, 2009

Hongera wajina wangu kwa siku ya kuzaliwa:- Yasinta

Leo napenda kuwapongeza shangazi zangu kwa siku zao za kuzaliwa. Lakini hasa kwa siku hii ya leo napenda kumpongeza wajina wangu Yasinta kwa kutimiza miaka 6. HONGERA sana kwa siku yako wajina na uwe na wakati mzuri na Mungu akulinde ukue na uwe msichana mwema na pia uwe na afya njema.

11 comments:

  1. baraka zake muumba,
    uhai wako daima,
    akulinde usiku mchana,
    asubuhi,jioni

    mwend raha vana vanyambili, vambwina kweli.....

    vapelayi mwaaaaaaaaaaaa LoL....

    ReplyDelete
  2. nusura niulize ni yupi kati ya hao wawili. ushamba mzigo wa kuni (msemo wa kiluguru).

    'ongela' kupunguza siku za utegemezi kwa wazazi wako.

    ReplyDelete
  3. Hongera kwa siku hi ya leo, Kibibi.

    ReplyDelete
  4. aaaaaaaaw!!! Awe kama Yasinta mkubwa...you are a great role model dada! Happy Birthday to Yasinta junior hehe

    ReplyDelete
  5. Chacha o'Wambura a.k.a Ng'wanambiti!December 5, 2009 at 6:05 AM

    waaaaaaana! wanameremetaaaaa!

    Hongereni shostitoz....lol

    ReplyDelete
  6. Nimechelewa. Lakini hata hivyo zangu zingali pongezi. Hongera sana kwa siku ya kuzaliwa. Maisha yawe yenye amani, furaha na mafanikio.

    ReplyDelete
  7. Dogo happy birthday, nakusubiria Model wangu

    ReplyDelete
  8. Fuata nyayo za Yasinta Mkubwa, hongera sana

    ReplyDelete
  9. Ahsante kwa niaba ya wajina wangu. Nami nasema tena Hongera sana wajina wangu. Pia Noela na Tuombe nawatakieni maisha mema na muwe watoto wazuri na watiifu. Najua nia kazi kubwa kama shangazi. Na sijui itakuwaje...lol.

    ReplyDelete
  10. Habari zenu. Ilikuwa ngumu sana kwangu wakati mpenzi wangu aliniacha kwa mwanamke mwingine. Niliharibiwa kihisia, nilivunjika moyo na sikujua la kufanya ili kumrudisha. Nilihangaika kwa miezi mingi na niliendelea kutafuta msaada kutoka kila mahali hadi nilipopata kujua kuhusu DR DAWN. Niliwasiliana naye na kumweleza shida zangu. Alikuwa tayari kunisaidia na kunisisitiza nifuate taratibu ili aweze kurejesha penzi kati yangu na mtu wangu na pia kuhakikisha tunarudiana wote wawili. Nilipata mahitaji yote na ilifanya kazi hiyo. Baada ya saa 48, nilipata ujumbe kutoka kwa mpenzi wangu akiniuliza tarehe. Sasa tuko pamoja tena na shukrani zote kwa DR DAWN. Anaweza kukusaidia kumrudisha mpenzi wako,
    Anaweza kukusaidia na uchawi wa ujauzito,

    Anaweza kukusaidia kuponya aina yoyote ya ugonjwa.

    ikiwa uko tayari kuamini na kubaki na matumaini. Watumie barua pepe tu kupitia: dawnacuna314@gmail.com
    WhatsApp: +2349046229159

    ReplyDelete