Wednesday, July 16, 2014

WIKI ILIYOPITA JUMATANO YA TAREHE TISA NILIPATA NAFASI KUWA NA WAFANYA KAZI WENZANGU KAMA NILIVYOWAAMBIA....NA HAPA NI BAADHI YA PICHA NYINGINE NA BARO ZAIDI

Nadhani mnakumbuka hapa . Basi leo mfanyakazi mwenzangu naye kumbe alipiga picha . karibu....

 
 Sijui kwa nini napunga mkono hapa. ni mwenyewe Kapulya na Dada AnnSofi
 Kapulya/Yasinta
 AnnSofi na rafiki yangu mpendwa Marlene
Hapa ni Dada Pernilla na Marlene ..meza nayo ilichafuka kiduchu.
NAWATAKIENI JIONI/SIKU/ASUBUHI AU MCHANA NJEMA/MWEMA

3 comments:

  1. Pendeza mwenyewe Yasinta na marafiki zako. Uwe na siku njema.

    ReplyDelete
  2. Mhh hongera ndugu wangu, tupo pamoja

    ReplyDelete
  3. Usiye na ahsante ssna...siku itakuwa njema na hivi leo nimeanza likizo.

    Emu -three....ndugu wa mim mbona umeanza na mguno? Ahsante pamoja daima.

    ReplyDelete