Monday, February 3, 2014

MSAADA WA VITENDAWILI NA MAANA ZAKE!!

Nimetumiwa ujumbe huu lakini kwa bahati mbaya hivi vitandawili kwangu vimekuwa vigumu kidogo kwa hiyo naomba ndugu zangu tusaidiane maana palipona wengi hapaharibiki kitu..Natunguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Na ujumbe wenyewe unasema hivi:- karibuni!!
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Dada Yasinta, habari za leo? Samahani naomba msaada wako kwa vitendawili vifuatavyo:
1) Wanastarehe darini.
2) Sina dada wala kaka, lakini baba wa huyu jamaa ni mtoto wa baba yangu.
3) Nguo ivaliwayo kila siku isiyoingiwa na chawa.
4) Ini la ng'ombe huliwa hata na walio mbali.
5) Chatembea na hakijapata kupumzika hata nukta moja.
6) Mvua kidogo ng'ombe kaoga kichwa.
7) Njoo hapa nije hapo.
8) Msitu ambao haulii hondohondo.
9) Aliwa, yuala, ala, aliwa.
10) Ajenga ingawa hana mikono.
JUMATATU IWE NJEMA KWA WOTE!

363 comments:

  1. Da Yasinta. Shikamoo!

    Haya hapa majibu.
    1. Panya
    2. Mtoto wangu
    3. Nyusi
    4. Kifo
    5. Jua
    6. Jiwe
    7. Kiraka
    8. Mimba
    9. Papa
    10. Ndege

    By Salumu.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mr nitegee kitendawiki chenye jibu hili (kitambi)
      Alafu nitegulie hiki
      Ni adui yangu lakini natembea nae kila siku.

      Delete
    2. taksi mbugani nini jibu la kitendawili hiki?

      Delete
    3. Naombeni jibu ya Nina kitanda changu Cha mkangashale means halali aende akalale

      Delete
    4. Samahani ninaomba kuuliza majibu ya vitendawili vifuatavyo:
      1) Mnadhani naenda kumbe siendi
      2) Hutembelea lakini hatembelewi
      3) Napanda mti na kichaa wangu

      Delete
    5. Watoto wa mjomba wakiondoka hawarudi

      Delete
    6. Dada Yasinta naomba unitegulie Kitendawili kifiatacho:
      1. Piki piki msituni?

      Delete
    7. Habari za asubuhi
      Naomba msaada wa kitendawili hiki'' daima damu yangu hunyonywa na kuuzwa lakini bado nipo imara''
      Asanteni.

      Delete
    8. Kitendawili:Anachonjwa kwa kisu likini hafi_

      Delete
    9. Naomben jibu gali moshi lelin

      Delete
  2. Kaka Salumu ahsante sana kwa mchango wako..Hapi kwenye namba tano mimi nilikuwa na jibu ...Saa

    ReplyDelete
    Replies
    1. Jibu siyo saa Wala jua,jibu moyo

      Delete
    2. Jibu la ,Jana nilitaka kupigwa , nikamwaga tango nikakwmbia

      Delete
  3. Sasa da Yasinta usemapo saa, ni saa ipi? Ya kujaza na ufunguo au ya betri na hizo zote zinaweza kuharibika. Ki sayansi hata jua halitembei! Labda tuseme ardhi (dunia) ndio inazunguka jua na mwezi inazunguka dunia. Maajabu ya Mwenyezi Mungu haya! By Salumu.

    ReplyDelete
  4. Pamoja na kuwa kipanga shuleni sikuyajua haya madude. Hivyo msaada wangu hapa ni kidogo au tuseme hakuna. Hata hivyo nashukuru nimepata mawili matatu na kuelimika.

    ReplyDelete
  5. Nakushukuru kwa kutuelimisha dada. Naomba msaada wa vitendawili hivi. ..1)Kiti nyikani,2) Kazi ni pantosha, 3) Kwetu tunalala tumesimama,4) Mama yupo chini ya wanawe wananing'iniquity darini, 5) Msichana wangu mrembo lakini havutiki,6)Ninakupa lakini mbona huachi kunidai, 7) Nakunywa mchuzi na nyama natupa nyama , 8) Ndege wengi baharini, 9) Teremka mlina kwa urahisi, 10) Tamu ya chumvi

    ReplyDelete
    Replies
    1. 7. Kula mua

      Delete
    2. Natamani kupata jibu LA hiki kitendawili jamani

      Delete
    3. Msaada gari moshi relini
      Ganda la mua haliishi utamu

      Delete
    4. Chungu cha mwitu hakiwapiki wapishi wake kika iva

      Delete
    5. Chungu Cha mwitu hakiwapiki wapishi wake wakaiva jibu ni mzinga wa nyuki.

      Delete
    6. Naombeni mnisaidie kitendawili kisemacho maji yakimwagika hayazoleki/hayanyweki

      Delete
  6. Nakushukuru kwa kutuelimisha dada. Naomba msaada wa vitendawili hivi. ..1)Kiti nyikani,2) Kazi ni pantosha, 3) Kwetu tunalala tumesimama,4) Mama yupo chini ya wanawe wananing'iniquity darini, 5) Msichana wangu mrembo lakini havutiki,6)Ninakupa lakini mbona huachi kunidai, 7) Nakunywa mchuzi na nyama natupa nyama , 8) Ndege wengi baharini, 9) Teremka mlina kwa urahisi, 10) Tamu ya chumvi

    ReplyDelete
  7. Yaan vitendawili ni vigumu sana,,kuna swali hapa kwamba kutokana na mabadiko ya sayansi na teknolojia vitendawili havina maana jadili kwa kutumia vitendawili sita.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hapo unaweza ukakataa au ukakubali. Ukikataa ndo unakuwa na uwezo mkubwa wa kujieleza kwa kutumia dhima au umuhimu wa vitendawili kwa Sasa huku ukiambatanisha mifano

      Delete
  8. Tafadhali niambie jibu LA kitendawili hiki/- juma kalala na ndevu kaziacha nje
    2. Ngozi ya babu chui inapedwa sana

    ReplyDelete
  9. Mimi pia naomba unisaidie na jibu la kitendawili iki agnes maridadi.

    ReplyDelete
  10. ningependa msaada katika kujibu kitendawili kifuatacho.
    wanatembelea lakini hawatembelewi

    ReplyDelete
  11. Tafadhali unisaidie kitendawili hiki, watoto wa binadamu wa.......

    ReplyDelete
  12. Naomba majibu ya vitendawili hivi;
    1.Hana adabu wala stash
    2.Hausimiki hausimami
    3.Ajenga ingawa hana mikono
    4.Kila nikitembea nasikia wifi wifi
    5.Fuu funua fuu funika

    ReplyDelete
  13. Msaada wa maana ya vitendawili.
    1.Ukumbuu wa babu ni mrefu
    2.Nichangu lakini sikitumii

    ReplyDelete
    Replies
    1. Naomba majibu ya vitendawili
      Kombe la mungu li wazi
      Zulia la Mungu
      Watoto wa binadamu wakiondoka hawarudiý

      Delete
  14. Kitendawili-kila akija kwetu hutanguliza na kelele

    ReplyDelete
  15. Naomba mnipe jibu la kitendawili hiki
    Nyanya apepeta ufuta

    ReplyDelete
  16. Naomba mnipe jibu la kitendawili hiki
    Nyanya apepeta ufuta

    ReplyDelete
  17. 1Babu kafa kaniachia Pete
    2Jinamizi laniiita lakini silioni
    Naomba mnisaidie vitendawili hivyo.

    ReplyDelete
  18. Kitendawili 1. watoto wa tajiri wanakula na kutembea uchi
    2. Babu kaanguka na makoti yake. Msaada

    ReplyDelete
  19. Msaada rafiki jibu la kitendawili "nina kitanda changu cha mkangashale mwana wa halali aende akalale........

    ReplyDelete
  20. Replies
    1. Naomba jibu la kitendawili kwa mfalme Hawa wanatoka na Hawa wanaingia
      L

      Delete
  21. Nilianika mtama Jana usiku lakini nilipoamka sikupata

    ReplyDelete
  22. Mbona vitendawili vinavyoulizwa na wadau havina majibu?

    ReplyDelete
  23. Naomba jibu la
    1 Mama anamiguu mtoto hana.
    2 masikini huyu ataumpe nini hariziki.

    ReplyDelete
  24. Jamani naombeni mnitegulie kitendawili cha bibi harusi ameinama

    ReplyDelete
  25. Naomba majibu kwa vitendawili vifwatavyo;-
    1. Agness Maridadi
    2. Mlima unaotembea

    ReplyDelete
  26. Chiriku alimwambia mwanawe, nikiinama nikiinuka no mauti yetu

    ReplyDelete
  27. Wakuu salama?

    Naomba msaada wa vitendawili vyenye majibu yafuatayo

    1. Kikombe
    2. Kinyonga
    3. Ulimi
    4. Jani
    5. Kisogo

    Natanguliza shukrani wadau

    ReplyDelete
    Replies
    1. 1mzungu katoka ulaya na mkono kiunoni
      2. Tajiri wa Rangi./ huuawa na uzazi wake
      4. Nikienda kwa mjomba sirud

      Delete
    2. 5. Ninatembea naye lakini simuoni

      Delete
  28. Nini maana ya nikiinama nikiinuka ni mauti yetu

    ReplyDelete
  29. Chukua ungo wewe na mimi tupepete kisichopepeteka

    ReplyDelete
  30. Naombeni msaada wa kitendawili hiki: Asha mzuri lakini matata

    ReplyDelete
  31. Naomba kujua maana ya kitendawili hiki mazishi yake ni furaha kwetu

    ReplyDelete
  32. Msaada jmn nacheza ngoma wapigaji wake wapo ughaibuni

    ReplyDelete
  33. Naomba msaada wa cjajibu ya ,gari moshi relini ,mazishi take nifuraha kwa watu,nacheza ngoma lakini wapigaji wake wako ughaibuni.

    ReplyDelete
  34. Msaada kutendawili nacheza ngoma kwa nguvu wapigaji wapo ughaibuni

    ReplyDelete
  35. Nini maana ya kitendawili nikikutana na adui yangu nanyong'onyea

    ReplyDelete
  36. Naomba msaada wa kitendawili na panda Mti na kichaa wangu

    ReplyDelete
  37. Naomba majibu ya vitandawili ivi. 1mjumbe alileta ujumbe nikajua habari aliisoma. 2kiangazi chote ulala yakija masika ukesha. 3hana mkono. 4nyundo zangu zimetengenezwa kwa mifupa

    ReplyDelete
  38. Ana ndevu,lakini kaka yake hana:sio mbuzi kweli?

    ReplyDelete
  39. Ninii maana ya kitendawilii hiki gari moshi relini

    ReplyDelete
  40. Naomba maana ya kitendawili kushika tama


    ReplyDelete
    Replies
    1. Ni nahau maana take sikitika

      Delete
  41. Nini maana ya kitendawili Napanda mti na kichaa wangu

    ReplyDelete
  42. Naomba jibu la kitandawili:napanda mti na kichaa wangu

    ReplyDelete
  43. Msaada wa kitendawili
    1)watoto watajiri wa nguo hulala na kutembea uchi
    2)zulia la mungu

    ReplyDelete
  44. Naomba msaada wa kitendawili hiki "Teksi mbugani"

    ReplyDelete
  45. Naombeni jibu LA ..nyundo zangu zimetengenezwa kwa mfupa

    ReplyDelete
  46. Naombeni jibu LA ..nyundo zangu zimetengenezwa kwa mfupa

    ReplyDelete
  47. Naomba msaada wa kuteguliwa kitendawili hiki"nina kitanda changu mkangashale mwana halali aende akalale".

    ReplyDelete
  48. Maomba jibu la kitendawili "nina kitanda changu cha mkangashale mwana wa halali aende akalale.

    ReplyDelete
  49. Maana ya kitendawili anajenga ingawa Hana mikono

    ReplyDelete
  50. Naomba majibu ya vitendawili hizi
    Zulia la mungu

    ReplyDelete
  51. Kisima changu hakikauki na maji

    ReplyDelete
  52. Wana wa mfalme hulala na kutembea uchi

    ReplyDelete
  53. Naomba jibu la kitendawili
    Kila mtu humwabudu apitao

    ReplyDelete
  54. Naomba msaada wa hivi vitendawili
    1. Apitapo huacha alama
    2.Inama nikuambie

    ReplyDelete
  55. Chukua ungo wewe na mimi tupepete kisicho pepeteka
    Naomba msaada

    ReplyDelete
  56. Naomba jibu la kitendawili hiki, Hesabu yake haina faida kwetu

    ReplyDelete
  57. Naomb jibu Babu kaanguka na makotikoti yake

    ReplyDelete
  58. Msaada..Nina kitanda changu Cha mkangashele mwana wa halali aende akalale

    ReplyDelete
  59. Naomba msaada kuhusu kitendawili hili: hesabu yake haina faida

    Asante

    ReplyDelete
  60. Nisaidie kitendawili Nina kitanda changu cha mkangashele mwana wa halali aende akalale

    ReplyDelete
  61. Msaada jaman...Nina kiatanda changu cha mkanga shale mwana wa halali aende akalale

    ReplyDelete
  62. naomba mnitegulie hiki kitendawil; mazishi yake ni furaha kwetu

    ReplyDelete
  63. Kitendawili-nacheza ngoma lakini wapigaji wapo ugaibuni.

    ReplyDelete
  64. Naomba msaada juu ya hichi kitendawili:nacheza ngoma lakini wapigaji wapo ugaibuni.

    ReplyDelete
  65. Gari moshi relini maana yake ni nini??????

    ReplyDelete
  66. Msaada wa hivi vitendawili
    1. Analala ananing'inia
    2. Mlima huu hupandwa kwa mkono

    ReplyDelete
  67. Naomba maana ya kitendawili kifa kifanana

    ReplyDelete
  68. Naomba maana ya kitemdawili zulia la mungu

    ReplyDelete
  69. Naomba maana ya kitendawili zulia la mungu

    ReplyDelete
  70. Naomba msaada wa majibu ya vitendawili vifuatavyo
    1.Anachinjwa kwa kisu lakini hafi?
    2.Aendapo juu lazima harudi?
    3.Akiiba yeye Mimi nashiba?
    4.Atembeapo huringa hata kama yupo hatarini?
    5.Akienda kwa mjomba harudi ?
    6.Amchukuapo hamrudishi?
    7.Akiwa mchanga ni mpole akizeeka anakisasi?

    ReplyDelete
  71. Naomba msaada wa kitendawil akiwabeba watoto wake Hawezi kuwashusha

    ReplyDelete
  72. Namba msaada wa kitendawili hiki kigoda Cha msituni?

    ReplyDelete
  73. 1 Ajihami bila silaha
    2 Bibi hachoki kunibeba

    ReplyDelete
  74. Nguo ya Babu ina viraka kila mahali maana yake

    ReplyDelete
  75. Naomba jibu la kitendawili hiki
    Kila mtu humwambia apitapo

    ReplyDelete
  76. Naomba jibu la kitendawili hivi
    1.Kiangazi chote kulala usingizi
    2.Nilimchinja mwanangu ng'ombe hii, wakala nyama wakapanda mkia ukaota ukawa ng'ombe tena

    ReplyDelete
  77. Nyanya apepeta mpunga.naomba jibu.

    ReplyDelete
  78. Naombeni vitendawili vitano na maana zake

    ReplyDelete
  79. Naomba msaada wa kitendawili ambacho jibu lake ni KITAMBI

    ReplyDelete
  80. Msaada wa kitendawili jibu moyo kongine meno na ulimi

    ReplyDelete
  81. Naomba jibu ya kitendawili chungu cha mwitu hakiwapiki wapishi wake wakaiva

    ReplyDelete
  82. Samahani jamani Nina misemo hii

    Naomba majibu

    1. Chungu cha mtu hakiwapiki wapishi wake wakaiva

    2. Kwa mfalme hawa wanaingia hawa wanatoka

    3.nacheza Ngoma wapigaji wake wapo ughaibuni

    Naombeni anayejua anisaidie

    ReplyDelete
  83. Nisaidieni kutegue kitendawili kipo hiv i gari moshi relini jibu lake ni nini

    ReplyDelete
  84. Nisaidie jibu la hiki kitendawili nina mtoto nkimpa chakula analia nikimnyima halii

    ReplyDelete
  85. Nisaidieni maana ya kitendawili nyumba yangu imeungua mwamba wake umebaki

    ReplyDelete
  86. Naomba msaada wa kitendawili: Hufa na kufufuka

    ReplyDelete
  87. Naomba msaada
    Kitendawili jibu lake ni KITAMBI

    ReplyDelete
  88. Naomba maana ya kitendawili

    1. Cheupe kimetoa manjano
    2. Aziza azizi mara nazi mara ndizi

    ReplyDelete
  89. Samahani naomba vitendawili vya majibu haya
    1.kujikwaa
    2.fingisi
    3.njia
    4.kuota moto

    ReplyDelete
  90. Rafiki yangu mharibifu lakini namhitaji naomba jibu la hiki kitendawili

    ReplyDelete
  91. Kichwani mmmh miguun mmmh naomba jibu la kitendawili icho

    ReplyDelete
  92. Nisaidie jibu.mama anapepeta mpunga

    ReplyDelete