Monday, March 8, 2010

Heri wanawake wote duniani/Internationella kvinnodagen



Napenda kwapa pongezi wanawake wote Duniani, kwanza kabisa mama yangu, binti yangu, na marafiki zangu wa kike wote na bila kujisahau mimi mwenyewe. Na pia napenda kuwapa pongezi wanaume pia.WANAWAKE HOYEEEEEEEEE!!!

6 comments:

  1. ...Nashukuru kwa kutukumbuka sisi wanaume kwenye salamu zako...WANAWAKE HOYEEE!!

    ReplyDelete
  2. Oyeeeeee.........li li li liiiiii lyaaa lyaaaa lyaaaaaaaaaa!!!!!!!

    ReplyDelete
  3. Kaka Faustine. Asante nawe pia!!

    Da Mija nawe kwa vituko sasa nani anapiga ngoma haya bwana ni siku yetu leo. Ngoja niungane nawe lu lu lulu lyaaaa lyaaa lyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  4. utamu wa ngoma ni kuicheza ati!

    Ongereni !

    Na raia namba wani kasema mwende majimboni mkagombee msingoje vya bwerere ati viti maalumu...lol

    ReplyDelete
  5. ...making life better

    tatizo ni laana mliotuletea kwa kudanganyika kumezeshwa tunda la mauti

    ReplyDelete
  6. Hongereni Bibi, Mama na Dada zetu

    ReplyDelete