tag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post5868635922113573281..comments2024-03-22T07:21:43.203+01:00Comments on MAISHA NA MAFANIKIO: Hongera kaka John Mwaipopo kwa kuongeza mwaka"!!!Yasinta Ngonyanihttp://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comBlogger6125tag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-21570669254469627952011-12-16T20:19:37.291+01:002011-12-16T20:19:37.291+01:00@John Mwaipopo
Nashukuru sana, Shemeji. Mbona mim...@John Mwaipopo<br />Nashukuru sana, Shemeji. Mbona mimi nitazidi kushiba tu!!!<br /><br />Yote unaenikaribisha nimeshawahi kuyaonja na kuyafaidi huko Kijijini cha Mninga (kama umewahi kufika sehemu za kiwanda cha chai Brooke Bond au Unilever Brothers pitia kituo cha Basi Nyololo).<br /><br />Mke wangu wa kwanza (SeMakafu) ni mwenyeji wa huko (na tumezaa watoto wawili usije kesho kusema Marehemu Phiri hakuniambia la ushemeji)<br /><br />Lakini mumeninyima mimi shemeji yenu na Mnyasa tena mtani wenu kabisa... nyama tamu kuliko zote....<br /><br /><br />MBWA!!!!Goodman Manyanya Phirihttps://www.blogger.com/profile/15369122107376580214noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-91447126098304528902011-12-16T03:18:05.826+01:002011-12-16T03:18:05.826+01:00Hongera sana Mkuu. Umenikumbusha mbali. Nami nilis...Hongera sana Mkuu. Umenikumbusha mbali. Nami nilisoma Iringa, Mkwawa High School, 1971-72, na ni hapo ndipo nilijifunzia kupiga ulanzi. Enzi zile ilikuwa bakuli moja inauzwa thumni, yaani senti 50. <br /><br />Kila la heri.Mbelehttps://www.blogger.com/profile/16077261126944002622noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-22238057480019926712011-12-15T21:52:05.671+01:002011-12-15T21:52:05.671+01:00Nimefurahi kuona kaka Chacha na kaka Phiri mmeunga...Nimefurahi kuona kaka Chacha na kaka Phiri mmeungana nami katika kumsherehekea kaka John kwa siku yake ya kuongeza uzee.<br />Kaka John hii ndiyo ilikuwa sababu kukusurprise. Nafurahi kama imekuwa kama ilivyokuwa SURPRISE.JE? UNATAKA KUTUAMBIA NI MIAKA MINGAPI UMETIMIZA..LOLYasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-3574457873235604842011-12-14T16:38:20.562+01:002011-12-14T16:38:20.562+01:00Yasinta umenisurprise kwelikweli
@ Chaha asante s...Yasinta umenisurprise kwelikweli<br /><br />@ Chaha asante sana kwa kunitakia heri ya kukua haraka. jasiri haachi asili, mimi nilisoma iringa kwa hiyo hii maneno siku mojamoja huwa naichangamkia<br /><br />@ Goodman. asante sana. karibu juisi ya maparachichi na keki ya ngano isiyokobolewaJohn Mwaipopohttps://www.blogger.com/profile/11708584279197669683noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-32740972164670896052011-12-14T13:04:48.837+01:002011-12-14T13:04:48.837+01:00John, umekwisha!!!!
Hongera sana!John, umekwisha!!!!<br /><br /><br />Hongera sana!Goodman Manyanya Phirihttps://www.blogger.com/profile/15369122107376580214noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-76412427412116622642011-12-14T07:14:33.889+01:002011-12-14T07:14:33.889+01:00Hongera sana kaka JM!
Naona unakata kiu ili mwaka...Hongera sana kaka JM!<br /><br />Naona unakata kiu ili mwaka uwende vema!!!o'Wambura Ng'wanambiti!https://www.blogger.com/profile/17146066311562834541noreply@blogger.com