tag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post2897260621614311530..comments2024-03-22T07:21:43.203+01:00Comments on MAISHA NA MAFANIKIO: NIMELIPENDA GAUNI HILI JAMANI..!!Yasinta Ngonyanihttp://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comBlogger10125tag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-78972417082908157712012-08-16T08:53:00.752+02:002012-08-16T08:53:00.752+02:00"Acha tuone na kamwe tusifikirie kuvuka daraj..."Acha tuone na kamwe tusifikirie kuvuka daraja kabla ya kulifikia."ray njauhttps://www.blogger.com/profile/17305304044159231575noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-84320254452094590142012-08-16T08:52:02.421+02:002012-08-16T08:52:02.421+02:00Kwa heshima na staha kwenu dada zangu wapendwa nas...Kwa heshima na staha kwenu dada zangu wapendwa nasema:<br />Acha tuone na kamwe tufikirie kuvuka daraja kabla ya kulifikia.<br />Salamu!!!ray njauhttps://www.blogger.com/profile/17305304044159231575noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-2514363933152985792012-08-15T20:22:46.227+02:002012-08-15T20:22:46.227+02:00Kaka Ray Njau, Yamezingatiwa ndiyo maana mimi na d...Kaka Ray Njau, Yamezingatiwa ndiyo maana mimi na da'Edna Kiboma tukasema itakuwa zaidi ya huyo!!Rachel Siwahttps://www.blogger.com/profile/03819895731823514877noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-74730340336706453472012-08-15T17:09:46.463+02:002012-08-15T17:09:46.463+02:00@Yasinta;
Katika chaguo la mitindo ya mavazi kwa w...@Yasinta;<br />Katika chaguo la mitindo ya mavazi kwa wanawake masharti na vigezo kwa maumbile ya mwili huzingatiwa na siyo suala kusema tu mtu atapendeza.<br />Je wewe maumbile yako asilia yanakidhi vigezo vya vazi husika au kwa ridhaa na shauku ya moyoni umeamua kuulazimisha moyo wako uhisi kuwa hili ndilo chaguo jema??????????ray njauhttps://www.blogger.com/profile/17305304044159231575noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-74871826859273994532012-08-15T14:41:38.795+02:002012-08-15T14:41:38.795+02:00Kaka Ray! ni kweli nikijaribu nitaona uzuri wake.....Kaka Ray! ni kweli nikijaribu nitaona uzuri wake...<br /><br />Dada Edna! kwanza karibu tena. Na halafu nashukuru kwa kuungana nasi..<br /><br />Rafiki wa hiari! Ahsante sana na wala usikonde nikishona picha lazima muione:-)Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-10061102525336712802012-08-15T06:35:41.144+02:002012-08-15T06:35:41.144+02:00Usitie shaka rafiki yangu utapendeza pia, tena san...Usitie shaka rafiki yangu utapendeza pia, tena sana tu! Usisahau kutuwekea picha yakoRafikio wa hiarinoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-12087201444553695192012-08-14T21:27:34.936+02:002012-08-14T21:27:34.936+02:00Hata mimi nimelipenda.
Namuunga mkono huyo alosema...Hata mimi nimelipenda.<br />Namuunga mkono huyo alosema utapendeza zaidi hata ya huyu.<br />EDINA-MIKAELA JOHNSENhttps://www.blogger.com/profile/01987174884678238070noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-21992909913177894962012-08-14T18:43:41.581+02:002012-08-14T18:43:41.581+02:00Daima ajaribuye hufanikiwa na muoga katika kujarib...Daima ajaribuye hufanikiwa na muoga katika kujaribu si mdau katika mchakato wa maisha na mafanikio.Acha tuone.................................................................................na tutajua kilifanya sita na tisa zifanane kwa kutofautiana.ray njauhttps://www.blogger.com/profile/17305304044159231575noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-84945791482822285192012-08-14T17:43:24.128+02:002012-08-14T17:43:24.128+02:00Kachiki! Ahsante kwa kunipa moyo ntashona tu ww ng...Kachiki! Ahsante kwa kunipa moyo ntashona tu ww ngoja...Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-51263714523524590692012-08-14T17:20:05.597+02:002012-08-14T17:20:05.597+02:00Kadala ninauhakika itakupendeza zaidi ya huyo dada...Kadala ninauhakika itakupendeza zaidi ya huyo dadangu!!!!!Rachel Siwahttps://www.blogger.com/profile/03819895731823514877noreply@blogger.com