tag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post1699573894897146551..comments2024-03-22T07:21:43.203+01:00Comments on MAISHA NA MAFANIKIO: IJUMAA HII YA MWEZI MPYA NIMEONA TUANZE HIVI!!!Yasinta Ngonyanihttp://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comBlogger5125tag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-68216663425172110202012-06-04T10:20:22.252+02:002012-06-04T10:20:22.252+02:00Hongera;
Kwa kuenzi utajiri wetu wa maliasili na w...Hongera;<br />Kwa kuenzi utajiri wetu wa maliasili na wanyama.<br />Kila la kheriSalehe Msandanoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-52938239645755069772012-06-02T22:25:36.715+02:002012-06-02T22:25:36.715+02:00Hakunaga dada Kadala!!!!!!Hakunaga dada Kadala!!!!!!Rachel Siwahttps://www.blogger.com/profile/03819895731823514877noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-90695188820449648812012-06-01T14:02:52.442+02:002012-06-01T14:02:52.442+02:00Asante sana mpendwa, hao wanyama walivyo tu inaash...Asante sana mpendwa, hao wanyama walivyo tu inaashiria upendo na amani, kila heri iwe nawe dadaInterestedtipshttps://www.blogger.com/profile/02727400010351986238noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-58799573827666825762012-06-01T13:05:39.031+02:002012-06-01T13:05:39.031+02:00Ayubu 39:1-30
-----------------------
1 “Je, umep...Ayubu 39:1-30<br />-----------------------<br /><br />1 “Je, umepata kujua wakati uliowekwa wa mbuzi wa milimani kuzaa?<br /><br />Je, unaangalia wakati ule paa wanapozaa kwa uchungu?<br /><br />2 Je, wewe huhesabu miezi ambayo wao hutimiza,<br />Au, je, umepata kujua wakati uliowekwa ambapo wao huzaa?<br /><br />3 Wao huinama wanapotoa watoto wao,<br />Wanapoondoa uchungu wao.<br /><br />4 Wana wao huwa wenye nguvu, huwa wakubwa porini;<br />Kwa kweli wao huenda zao wala hawarudi kwao.<br /><br />5 Ni nani aliyemwachilia punda-milia awe huru,<br />Na ni nani aliyevifungua vifungo vya punda-mwitu,<br /><br />6 Ambao nimeweka nchi tambarare ya jangwa kuwa nyumba yao<br />Na ambao makao yao ni nchi ya chumvi?<br /><br />7 Yeye huyacheka machafuko ya mji;<br />Naye hasikii kelele za mwindaji.<br /><br />8 Yeye hutafuta-tafuta malisho yake milimani<br />Naye hutafuta kila namna ya mmea wa kijani.<br /><br />9 Je, ng’ombe-mwitu hutaka kukutumikia,<br />Au, je, atalala usiku kwenye hori yako?<br /><br />10 Je, utamfunga imara ng’ombe-mwitu kwa kamba zake katika mtaro,<br />Au, je, yeye atalima nchi tambarare za chini nyuma yako?<br /><br />11 Je, utamtegemea kwa kuwa ana nguvu nyingi,<br />Na, je, utamwachia yeye kazi yako ngumu?<br /><br />12 Je, utamtegemea kwamba atarudisha mbegu zako<br />Na kwamba atakusanya kwenye uwanja wako wa kupuria?<br /><br />13 Je, bawa la mbuni-jike limepiga-piga kwa shangwe,<br />Au, je, yeye ana mbawa za korongo na manyoya?<br /><br />14 Kwa maana yeye huyaacha mayai yake katika nchi<br />Naye huyatia joto katika mavumbi,<br /><br />15 Naye husahau kwamba mguu fulani unaweza kuyavunja<br />Au hata mnyama wa mwituni anaweza kuyakanyaga.<br /><br />16 Yeye huwatendea wanawe kwa ukali, kana kwamba si wake—<br />Kazi yake ngumu ni ya ubatili kwa sababu yeye hana hofu.<br /><br />17 Kwa maana Mungu amemfanya asahau hekima,<br />Naye hakumpa fungu katika uelewaji.<br /><br />18 Wakati anapopiga-piga mabawa yake juu,<br />Yeye humcheka farasi na mpandaji wake.<br /><br />19 Je, unaweza kumpa farasi nguvu?<br />Je, unaweza kuivika shingo yake manyoya yanayotetema?<br /><br />20 Je, unaweza kumfanya aruke kama nzige?<br />Fahari ya kukoroma kwake ni yenye kutisha.<br /><br />21 Yeye huparapara katika nchi tambarare ya chini na kufurahia nguvu;<br />Husonga mbele kukutana na silaha.<br /><br />22 Huicheka hofu, naye hatishiki;<br />Wala harudi nyuma kwa sababu ya upanga.<br /><br />23 Podo hupiga kelele juu yake,<br />Kichwa cha mkuki na pia fumo.<br /><br />24 Yeye huimeza nchi kwa mwendo wa kishindo na msisimuko,<br />Wala haamini kwamba ni sauti ya baragumu.<br /><br />25 Mara tu baragumu inapopiga yeye husema Aha!<br />Naye hunusa harufu ya pigano kutoka mbali sana,<br /><br />Mshindo wa wakuu na kelele za vita.<br /><br />26 Je, ni kwa sababu ya uelewaji wako kwamba kipanga hupaa juu,<br />Kwamba yeye hunyoosha mabawa yake kuuelekea upepo wa kusini?<br /><br />27 Au, je, ni kwa agizo lako<br />kwamba tai huruka kuelekea juu<br />Na kwamba hujenga kiota chake huko juu,<br /><br />28 Kwamba yeye hukaa kwenye mwamba na wakati wa usiku hukaa<br />Juu ya ncha ya mwamba na mahali pasipoweza kufikiwa?<br /><br />29 Kutoka hapo yeye hutafuta chakula;<br />Macho yake huendelea kutazama mbali sana.<br /><br />30 Na watoto wake huendelea kunywa damu;<br />Na mahali walipo wale waliouawa, yeye yupo hapo.”<br />YaliyomoSuraInayotanguliaInayofuataray njauhttps://www.blogger.com/profile/17305304044159231575noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3332600689383679139.post-65296474938759113762012-06-01T12:56:37.080+02:002012-06-01T12:56:37.080+02:00Asante sana na uwe na wikiendi njema!!Asante sana na uwe na wikiendi njema!!ray njauhttps://www.blogger.com/profile/17305304044159231575noreply@blogger.com